IDRISS DEBY: RAIS ALIYEINGIA MADARAKANI KWA MTUTU NA KUNG’OLEWA KWA MTUTU

Idriss Déby, rais wa Chad kwa miaka 30, alikuwa ni mpambanaji. Aliingia madarakani kwa mtutu wa bunduki na ametoka kwa mtutu wa bunduki. Rais huyo mwenye miaka 68, ambaye alikuwa amechaguliwa kuliongoza taifa lake kwa muhula wa sita ameuawa vitani na waasi, na kuandikisha ukomo wa mtawala ambaye alisifika kwa uwezo wake vitani. Alipokea mafunzo